MUOGOPE MUNGU AWEZAYE KULEFUSHA SIKU ZAKO MWABUDU YEYE TU

WELCOME

WELCOME TO MY WEBSITE AND LETS SHARE WHAT YOU HAVE BY CLICKING COMMENTS TO ANY INTERESTED ARTICLES AND LEAVE YOUR COMMENTS THERE STAY BLESSED

Sunday, September 27, 2015

MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI, BALI KARAMA YA MUNGU NI UZIMA WA MILELE KATIKA KRISTO YESU.

BWANA YESU asifiwe. Karibu sana kwenye neno la uzima. ''Kwa maana Wewe, BWANA, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao. -Zaburi 86:5.'' Kuna Watu Leo Mioyo Yao Inatamani Sana Kumpokea BWANA YESU Ila Miili Yao Inakataa Na Wao Wanaitii Miili Yao Ambayo Huwatendesha Dhambi Kila Siku. Ndugu Mwili Wako Usipokuwa Makini Unaweza Kukupeleka Motoni, Usikubali Mwili Wako Ukufanye Umkosee MUNGU. BWANA YESU Anakupenda Sana Na Hataki Kabisa Uende Motoni, Ndugu Mpokee Leo Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. ''Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema. -Mithali 28:13'' Ndugu zangu ni heri kujua kwamba -Hakuna Mbingu Ya Wazinzi Wala Waasherati, -Hakuna Mbingu Ya Wachawi Wala Waganga Wa Kienyeji Hata Kama Wanajiita Tiba Mbadala, -Hakuna Mbingu Ya Makahaba Wala Majambazi, -Hakuna Mbingu Ya Waongo Wala Matapeli, -Hakuna Mbingu Ya Wachonganishaji Wala Wala Rushwa, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu Sanamu Wa Mafisadi, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu shetani Wala Wanaomtumikia shetani Kwa Uimbaji, -Hakuna Mbingu Ya Walevi Wala Wasoma Bao. Mathayo 6:33-Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.. Make Money at : http://bit.ly/best_tips Kama Unataka Mbingu Mpokee BWANA YESU Na Acha Dhambi Zote. Kataa Dhambi, Ogopa Dhambi, Ikimbie Dhambi Na Usitende Dhambi. BWANA YESU Anakuita Leo, Ukiisikia Sauti Yake Mpokee Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. Kiburi cha kumkataa BWANA YESU kitawaangamiza wengi sana. ''Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa. -Mithali 29:23'' Baada Ya Kifo Ni Hukumu, Anayetenda Dhambi Mwache Aendelee Na Dhambi Zake Na Wewe Unayejitakasa Kwa YESU Ongeza Maombi Ya Kujitakasa Ndugu Yangu, Siku Ya BWANA I Karibu, Umependwa Na YESU Ndugu Yangu, Ng'ng'ania Uzima Wa BWANA YESU, Wanaomkataa BWANA YESU Hawana Nafasi Hata Moja Kwenye Ufalme Wake, Ndugu Yangu YESU KRISTO Akikuita Itika Maana Ndiye Pekee Mwenye Uzima Wako Wa Milele. MUNGU Amewaficha Ufahamu Huu Wenye Hekima Za Kidunia Na Amewafunulia Watu Wa Kawaida Tu Na Wanyonge Wale Ambao Wako Tayari Kumtii, Wakati Mwingine Kibinadamu Wateule Wa KRISTO Huonekana Kama Hawana Akili Timamu Lakini Hao Hao Ndio Wanasababisha Dunia Iwepo Leo, BWANA Anawavumilia Watenda Dhambi Ili Wabadilike Na Kumpokea Yeye. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa Tena Leo. YESU KRISTO Anakupenda Sana Na Yuko Tayari Kukuokoa Kama Tu Ukimhitaji Leo, Ndugu Nakuomba Mtake YESU Akuokoe Leo. MUNGU anatoa ahadi nzuri sana kwa wote watakaoamua kumpokea YESU KRISTO anasema. '' Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena. -Waebrania 18:12'' Sio Lazima Kumpa YESU Maisha Yako Ila Haiwezekani Kuingia Uzima Wa Milele Kama Huna YESU. BWANA YESU anamhakikishia kila atakayempa maisha yake na kuishi maisha matakatifu katika yeye anasema ''Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. -Yohana 10:28'' Ndugu Yangu Kataa Kutumiwa Na shetani Kwenye Mipango Yake Ya Kuhakikisha Watu Hawaendi Uzima Wa Milele. Mpokee YESU KRISTO Leo Ili Akupe Uzima Wa Milele. shetani Ni Wa Jehanamu Na YESU KRISTO Ni Wa Mbinguni, Walioamua Kuwa Na shetani Kupitia Kutenda Dhambi Hao Ni Wa Kuzimu Lakini Tuliookolewa Na BWANA YESU Sisi Ni Wa Mbinguni Tena Wa Uzima Wa Milele(Waefeso 2:8 ,Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha MUNGU; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.). YESU Anakuita Kila Siku Ndugu Ili Tu Usiangamie Bali Akuokoe, Ndugu Kama Ukipata Kusikia Sauti Ya MUNGU Kupitia Watumishi Wake Basi Na Hakika Atakuokoa. BWANA YESU Anakupenda Sana. BWANA YESU mwenyewe kwa kinywa chake anasema ''Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. -Ufunuo 3:20'' Ndugu Zangu, MUNGU Hataleta Malaika Kuwahubiri Ndipo Muokoke, Wala MUNGU Hataleta Mitume Na Manabii Wakuhubiri Ndipo Umpokee YESU KRISTO Bali MUNGU Anawatumia Hawa Hawa Ambao Wewe Unawaona Wa Kawaida, MUNGU Anawatumia Hao Hao Ambao Unauwezo Hata Wa Kuwatukana Lakini Ipo Siku Ya Kutoa Hesabu, Ipo Siku Ya Kusema Ningejua. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa, Mpokee BWANA YESU. ''Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya MUNGU ni uzima wa milele katika KRISTO YESU BWANA wetu. -Warumi 6:23'' Dhambi ina mshahara ambao ni mauti yaani jehanamu. Parapanda Italia, Kila Mtu Atalipwa Kama Matendo Yake Yalivyokuwa, Waliokataa YESU Siku Hiyo Watamkubali Lakini Watakuwa Wamechelewa.BWANA YESU Atawapeleka Uzima Wa Milele Wateule Wake Na Watakaobaki Wataenda Kwao Jehanamu. Ndugu Unasubiri Nini Kuokoka? '' Na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.-Waefeso 4:23-24 Kwa sasa naishia hapo, MUNGU akitupa nafasi tutajifunza tena siku nyingine.na kama hujampokea BWANA YESU muda wa kumpokea ni leo wala sio kesho, amua leo na atakuandika jina lako katika kitabu cha uzima na utaanza kuukulia wokovu kwa mafundisho kanisani. MUNGU ana makusudi kabisa na wewe, hataki upotelee motoni anataka uende uzimani aliko KRISTO BWANA.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
BWANA YESU asifiwe. Karibu sana kwenye neno la uzima. ''Kwa maana Wewe, BWANA, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao. -Zaburi 86:5.'' Kuna Watu Leo Mioyo Yao Inatamani Sana Kumpokea BWANA YESU Ila Miili Yao Inakataa Na Wao Wanaitii Miili Yao Ambayo Huwatendesha Dhambi Kila Siku. Ndugu Mwili Wako Usipokuwa Makini Unaweza Kukupeleka Motoni, Usikubali Mwili Wako Ukufanye Umkosee MUNGU. BWANA YESU Anakupenda Sana Na Hataki Kabisa Uende Motoni, Ndugu Mpokee Leo Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. ''Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema. -Mithali 28:13'' Ndugu zangu ni heri kujua kwamba -Hakuna Mbingu Ya Wazinzi Wala Waasherati, -Hakuna Mbingu Ya Wachawi Wala Waganga Wa Kienyeji Hata Kama Wanajiita Tiba Mbadala, -Hakuna Mbingu Ya Makahaba Wala Majambazi, -Hakuna Mbingu Ya Waongo Wala Matapeli, -Hakuna Mbingu Ya Wachonganishaji Wala Wala Rushwa, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu Sanamu Wa Mafisadi, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu shetani Wala Wanaomtumikia shetani Kwa Uimbaji, -Hakuna Mbingu Ya Walevi Wala Wasoma Bao. Mathayo 6:33-Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.. Make Money at : http://bit.ly/best_tips Kama Unataka Mbingu Mpokee BWANA YESU Na Acha Dhambi Zote. Kataa Dhambi, Ogopa Dhambi, Ikimbie Dhambi Na Usitende Dhambi. BWANA YESU Anakuita Leo, Ukiisikia Sauti Yake Mpokee Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. Kiburi cha kumkataa BWANA YESU kitawaangamiza wengi sana. ''Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa. -Mithali 29:23'' Baada Ya Kifo Ni Hukumu, Anayetenda Dhambi Mwache Aendelee Na Dhambi Zake Na Wewe Unayejitakasa Kwa YESU Ongeza Maombi Ya Kujitakasa Ndugu Yangu, Siku Ya BWANA I Karibu, Umependwa Na YESU Ndugu Yangu, Ng'ng'ania Uzima Wa BWANA YESU, Wanaomkataa BWANA YESU Hawana Nafasi Hata Moja Kwenye Ufalme Wake, Ndugu Yangu YESU KRISTO Akikuita Itika Maana Ndiye Pekee Mwenye Uzima Wako Wa Milele. MUNGU Amewaficha Ufahamu Huu Wenye Hekima Za Kidunia Na Amewafunulia Watu Wa Kawaida Tu Na Wanyonge Wale Ambao Wako Tayari Kumtii, Wakati Mwingine Kibinadamu Wateule Wa KRISTO Huonekana Kama Hawana Akili Timamu Lakini Hao Hao Ndio Wanasababisha Dunia Iwepo Leo, BWANA Anawavumilia Watenda Dhambi Ili Wabadilike Na Kumpokea Yeye. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa Tena Leo. YESU KRISTO Anakupenda Sana Na Yuko Tayari Kukuokoa Kama Tu Ukimhitaji Leo, Ndugu Nakuomba Mtake YESU Akuokoe Leo. MUNGU anatoa ahadi nzuri sana kwa wote watakaoamua kumpokea YESU KRISTO anasema. '' Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena. -Waebrania 18:12'' Sio Lazima Kumpa YESU Maisha Yako Ila Haiwezekani Kuingia Uzima Wa Milele Kama Huna YESU. BWANA YESU anamhakikishia kila atakayempa maisha yake na kuishi maisha matakatifu katika yeye anasema ''Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. -Yohana 10:28'' Ndugu Yangu Kataa Kutumiwa Na shetani Kwenye Mipango Yake Ya Kuhakikisha Watu Hawaendi Uzima Wa Milele. Mpokee YESU KRISTO Leo Ili Akupe Uzima Wa Milele. shetani Ni Wa Jehanamu Na YESU KRISTO Ni Wa Mbinguni, Walioamua Kuwa Na shetani Kupitia Kutenda Dhambi Hao Ni Wa Kuzimu Lakini Tuliookolewa Na BWANA YESU Sisi Ni Wa Mbinguni Tena Wa Uzima Wa Milele(Waefeso 2:8 ,Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha MUNGU; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.). YESU Anakuita Kila Siku Ndugu Ili Tu Usiangamie Bali Akuokoe, Ndugu Kama Ukipata Kusikia Sauti Ya MUNGU Kupitia Watumishi Wake Basi Na Hakika Atakuokoa. BWANA YESU Anakupenda Sana. BWANA YESU mwenyewe kwa kinywa chake anasema ''Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. -Ufunuo 3:20'' Ndugu Zangu, MUNGU Hataleta Malaika Kuwahubiri Ndipo Muokoke, Wala MUNGU Hataleta Mitume Na Manabii Wakuhubiri Ndipo Umpokee YESU KRISTO Bali MUNGU Anawatumia Hawa Hawa Ambao Wewe Unawaona Wa Kawaida, MUNGU Anawatumia Hao Hao Ambao Unauwezo Hata Wa Kuwatukana Lakini Ipo Siku Ya Kutoa Hesabu, Ipo Siku Ya Kusema Ningejua. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa, Mpokee BWANA YESU. ''Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya MUNGU ni uzima wa milele katika KRISTO YESU BWANA wetu. -Warumi 6:23'' Dhambi ina mshahara ambao ni mauti yaani jehanamu. Parapanda Italia, Kila Mtu Atalipwa Kama Matendo Yake Yalivyokuwa, Waliokataa YESU Siku Hiyo Watamkubali Lakini Watakuwa Wamechelewa.BWANA YESU Atawapeleka Uzima Wa Milele Wateule Wake Na Watakaobaki Wataenda Kwao Jehanamu. Ndugu Unasubiri Nini Kuokoka? '' Na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.-Waefeso 4:23-24 Kwa sasa naishia hapo, MUNGU akitupa nafasi tutajifunza tena siku nyingine.na kama hujampokea BWANA YESU muda wa kumpokea ni leo wala sio kesho, amua leo na atakuandika jina lako katika kitabu cha uzima na utaanza kuukulia wokovu kwa mafundisho kanisani. MUNGU ana makusudi kabisa na wewe, hataki upotelee motoni anataka uende uzimani aliko KRISTO BWANA.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
BWANA YESU asifiwe. Karibu sana kwenye neno la uzima. ''Kwa maana Wewe, BWANA, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao. -Zaburi 86:5.'' Kuna Watu Leo Mioyo Yao Inatamani Sana Kumpokea BWANA YESU Ila Miili Yao Inakataa Na Wao Wanaitii Miili Yao Ambayo Huwatendesha Dhambi Kila Siku. Ndugu Mwili Wako Usipokuwa Makini Unaweza Kukupeleka Motoni, Usikubali Mwili Wako Ukufanye Umkosee MUNGU. BWANA YESU Anakupenda Sana Na Hataki Kabisa Uende Motoni, Ndugu Mpokee Leo Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. ''Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema. -Mithali 28:13'' Ndugu zangu ni heri kujua kwamba -Hakuna Mbingu Ya Wazinzi Wala Waasherati, -Hakuna Mbingu Ya Wachawi Wala Waganga Wa Kienyeji Hata Kama Wanajiita Tiba Mbadala, -Hakuna Mbingu Ya Makahaba Wala Majambazi, -Hakuna Mbingu Ya Waongo Wala Matapeli, -Hakuna Mbingu Ya Wachonganishaji Wala Wala Rushwa, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu Sanamu Wa Mafisadi, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu shetani Wala Wanaomtumikia shetani Kwa Uimbaji, -Hakuna Mbingu Ya Walevi Wala Wasoma Bao. Mathayo 6:33-Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.. Make Money at : http://bit.ly/best_tips Kama Unataka Mbingu Mpokee BWANA YESU Na Acha Dhambi Zote. Kataa Dhambi, Ogopa Dhambi, Ikimbie Dhambi Na Usitende Dhambi. BWANA YESU Anakuita Leo, Ukiisikia Sauti Yake Mpokee Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. Kiburi cha kumkataa BWANA YESU kitawaangamiza wengi sana. ''Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa. -Mithali 29:23'' Baada Ya Kifo Ni Hukumu, Anayetenda Dhambi Mwache Aendelee Na Dhambi Zake Na Wewe Unayejitakasa Kwa YESU Ongeza Maombi Ya Kujitakasa Ndugu Yangu, Siku Ya BWANA I Karibu, Umependwa Na YESU Ndugu Yangu, Ng'ng'ania Uzima Wa BWANA YESU, Wanaomkataa BWANA YESU Hawana Nafasi Hata Moja Kwenye Ufalme Wake, Ndugu Yangu YESU KRISTO Akikuita Itika Maana Ndiye Pekee Mwenye Uzima Wako Wa Milele. MUNGU Amewaficha Ufahamu Huu Wenye Hekima Za Kidunia Na Amewafunulia Watu Wa Kawaida Tu Na Wanyonge Wale Ambao Wako Tayari Kumtii, Wakati Mwingine Kibinadamu Wateule Wa KRISTO Huonekana Kama Hawana Akili Timamu Lakini Hao Hao Ndio Wanasababisha Dunia Iwepo Leo, BWANA Anawavumilia Watenda Dhambi Ili Wabadilike Na Kumpokea Yeye. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa Tena Leo. YESU KRISTO Anakupenda Sana Na Yuko Tayari Kukuokoa Kama Tu Ukimhitaji Leo, Ndugu Nakuomba Mtake YESU Akuokoe Leo. MUNGU anatoa ahadi nzuri sana kwa wote watakaoamua kumpokea YESU KRISTO anasema. '' Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena. -Waebrania 18:12'' Sio Lazima Kumpa YESU Maisha Yako Ila Haiwezekani Kuingia Uzima Wa Milele Kama Huna YESU. BWANA YESU anamhakikishia kila atakayempa maisha yake na kuishi maisha matakatifu katika yeye anasema ''Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. -Yohana 10:28'' Ndugu Yangu Kataa Kutumiwa Na shetani Kwenye Mipango Yake Ya Kuhakikisha Watu Hawaendi Uzima Wa Milele. Mpokee YESU KRISTO Leo Ili Akupe Uzima Wa Milele. shetani Ni Wa Jehanamu Na YESU KRISTO Ni Wa Mbinguni, Walioamua Kuwa Na shetani Kupitia Kutenda Dhambi Hao Ni Wa Kuzimu Lakini Tuliookolewa Na BWANA YESU Sisi Ni Wa Mbinguni Tena Wa Uzima Wa Milele(Waefeso 2:8 ,Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha MUNGU; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.). YESU Anakuita Kila Siku Ndugu Ili Tu Usiangamie Bali Akuokoe, Ndugu Kama Ukipata Kusikia Sauti Ya MUNGU Kupitia Watumishi Wake Basi Na Hakika Atakuokoa. BWANA YESU Anakupenda Sana. BWANA YESU mwenyewe kwa kinywa chake anasema ''Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. -Ufunuo 3:20'' Ndugu Zangu, MUNGU Hataleta Malaika Kuwahubiri Ndipo Muokoke, Wala MUNGU Hataleta Mitume Na Manabii Wakuhubiri Ndipo Umpokee YESU KRISTO Bali MUNGU Anawatumia Hawa Hawa Ambao Wewe Unawaona Wa Kawaida, MUNGU Anawatumia Hao Hao Ambao Unauwezo Hata Wa Kuwatukana Lakini Ipo Siku Ya Kutoa Hesabu, Ipo Siku Ya Kusema Ningejua. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa, Mpokee BWANA YESU. ''Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya MUNGU ni uzima wa milele katika KRISTO YESU BWANA wetu. -Warumi 6:23'' Dhambi ina mshahara ambao ni mauti yaani jehanamu. Parapanda Italia, Kila Mtu Atalipwa Kama Matendo Yake Yalivyokuwa, Waliokataa YESU Siku Hiyo Watamkubali Lakini Watakuwa Wamechelewa.BWANA YESU Atawapeleka Uzima Wa Milele Wateule Wake Na Watakaobaki Wataenda Kwao Jehanamu. Ndugu Unasubiri Nini Kuokoka? '' Na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.-Waefeso 4:23-24 Kwa sasa naishia hapo, MUNGU akitupa nafasi tutajifunza tena siku nyingine.na kama hujampokea BWANA YESU muda wa kumpokea ni leo wala sio kesho, amua leo na atakuandika jina lako katika kitabu cha uzima na utaanza kuukulia wokovu kwa mafundisho kanisani. MUNGU ana makusudi kabisa na wewe, hataki upotelee motoni anataka uende uzimani aliko KRISTO BWANA.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu
BWANA YESU asifiwe. Karibu sana kwenye neno la uzima. ''Kwa maana Wewe, BWANA, U mwema, Umekuwa tayari kusamehe, Na mwingi wa fadhili, Kwa watu wote wakuitao. -Zaburi 86:5.'' Kuna Watu Leo Mioyo Yao Inatamani Sana Kumpokea BWANA YESU Ila Miili Yao Inakataa Na Wao Wanaitii Miili Yao Ambayo Huwatendesha Dhambi Kila Siku. Ndugu Mwili Wako Usipokuwa Makini Unaweza Kukupeleka Motoni, Usikubali Mwili Wako Ukufanye Umkosee MUNGU. BWANA YESU Anakupenda Sana Na Hataki Kabisa Uende Motoni, Ndugu Mpokee Leo Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. ''Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema. -Mithali 28:13'' Ndugu zangu ni heri kujua kwamba -Hakuna Mbingu Ya Wazinzi Wala Waasherati, -Hakuna Mbingu Ya Wachawi Wala Waganga Wa Kienyeji Hata Kama Wanajiita Tiba Mbadala, -Hakuna Mbingu Ya Makahaba Wala Majambazi, -Hakuna Mbingu Ya Waongo Wala Matapeli, -Hakuna Mbingu Ya Wachonganishaji Wala Wala Rushwa, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu Sanamu Wa Mafisadi, -Hakuna Mbingu Ya Waabudu shetani Wala Wanaomtumikia shetani Kwa Uimbaji, -Hakuna Mbingu Ya Walevi Wala Wasoma Bao. Mathayo 6:33-Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.. Make Money at : http://bit.ly/best_tips Kama Unataka Mbingu Mpokee BWANA YESU Na Acha Dhambi Zote. Kataa Dhambi, Ogopa Dhambi, Ikimbie Dhambi Na Usitende Dhambi. BWANA YESU Anakuita Leo, Ukiisikia Sauti Yake Mpokee Na Atakuandika Jina Lako Kwenye Kitabu Cha Uzima. Kiburi cha kumkataa BWANA YESU kitawaangamiza wengi sana. ''Kiburi cha mtu kitamshusha; Bali mwenye roho ya unyenyekevu ataheshimiwa. -Mithali 29:23'' Baada Ya Kifo Ni Hukumu, Anayetenda Dhambi Mwache Aendelee Na Dhambi Zake Na Wewe Unayejitakasa Kwa YESU Ongeza Maombi Ya Kujitakasa Ndugu Yangu, Siku Ya BWANA I Karibu, Umependwa Na YESU Ndugu Yangu, Ng'ng'ania Uzima Wa BWANA YESU, Wanaomkataa BWANA YESU Hawana Nafasi Hata Moja Kwenye Ufalme Wake, Ndugu Yangu YESU KRISTO Akikuita Itika Maana Ndiye Pekee Mwenye Uzima Wako Wa Milele. MUNGU Amewaficha Ufahamu Huu Wenye Hekima Za Kidunia Na Amewafunulia Watu Wa Kawaida Tu Na Wanyonge Wale Ambao Wako Tayari Kumtii, Wakati Mwingine Kibinadamu Wateule Wa KRISTO Huonekana Kama Hawana Akili Timamu Lakini Hao Hao Ndio Wanasababisha Dunia Iwepo Leo, BWANA Anawavumilia Watenda Dhambi Ili Wabadilike Na Kumpokea Yeye. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa Tena Leo. YESU KRISTO Anakupenda Sana Na Yuko Tayari Kukuokoa Kama Tu Ukimhitaji Leo, Ndugu Nakuomba Mtake YESU Akuokoe Leo. MUNGU anatoa ahadi nzuri sana kwa wote watakaoamua kumpokea YESU KRISTO anasema. '' Kwa sababu nitawasamehe maovu yao, Na dhambi zao sitazikumbuka tena. -Waebrania 18:12'' Sio Lazima Kumpa YESU Maisha Yako Ila Haiwezekani Kuingia Uzima Wa Milele Kama Huna YESU. BWANA YESU anamhakikishia kila atakayempa maisha yake na kuishi maisha matakatifu katika yeye anasema ''Nami nawapa uzima wa milele; wala hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. -Yohana 10:28'' Ndugu Yangu Kataa Kutumiwa Na shetani Kwenye Mipango Yake Ya Kuhakikisha Watu Hawaendi Uzima Wa Milele. Mpokee YESU KRISTO Leo Ili Akupe Uzima Wa Milele. shetani Ni Wa Jehanamu Na YESU KRISTO Ni Wa Mbinguni, Walioamua Kuwa Na shetani Kupitia Kutenda Dhambi Hao Ni Wa Kuzimu Lakini Tuliookolewa Na BWANA YESU Sisi Ni Wa Mbinguni Tena Wa Uzima Wa Milele(Waefeso 2:8 ,Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani; ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha MUNGU; wala si kwa matendo, mtu awaye yote asije akajisifu.). YESU Anakuita Kila Siku Ndugu Ili Tu Usiangamie Bali Akuokoe, Ndugu Kama Ukipata Kusikia Sauti Ya MUNGU Kupitia Watumishi Wake Basi Na Hakika Atakuokoa. BWANA YESU Anakupenda Sana. BWANA YESU mwenyewe kwa kinywa chake anasema ''Tazama, nasimama mlangoni, nabisha; mtu akiisikia sauti yangu, na kuufungua mlango, nitaingia kwake, nami nitakula pamoja naye, na yeye pamoja nami. -Ufunuo 3:20'' Ndugu Zangu, MUNGU Hataleta Malaika Kuwahubiri Ndipo Muokoke, Wala MUNGU Hataleta Mitume Na Manabii Wakuhubiri Ndipo Umpokee YESU KRISTO Bali MUNGU Anawatumia Hawa Hawa Ambao Wewe Unawaona Wa Kawaida, MUNGU Anawatumia Hao Hao Ambao Unauwezo Hata Wa Kuwatukana Lakini Ipo Siku Ya Kutoa Hesabu, Ipo Siku Ya Kusema Ningejua. Ndugu Zangu Wokovu Ni Sasa, Mpokee BWANA YESU. ''Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti; bali karama ya MUNGU ni uzima wa milele katika KRISTO YESU BWANA wetu. -Warumi 6:23'' Dhambi ina mshahara ambao ni mauti yaani jehanamu. Parapanda Italia, Kila Mtu Atalipwa Kama Matendo Yake Yalivyokuwa, Waliokataa YESU Siku Hiyo Watamkubali Lakini Watakuwa Wamechelewa.BWANA YESU Atawapeleka Uzima Wa Milele Wateule Wake Na Watakaobaki Wataenda Kwao Jehanamu. Ndugu Unasubiri Nini Kuokoka? '' Na mfanywe wapya katika roho ya nia zenu; mkavae utu mpya, ulioumbwa kwa namna ya Mungu katika haki na utakatifu wa kweli.-Waefeso 4:23-24 Kwa sasa naishia hapo, MUNGU akitupa nafasi tutajifunza tena siku nyingine.na kama hujampokea BWANA YESU muda wa kumpokea ni leo wala sio kesho, amua leo na atakuandika jina lako katika kitabu cha uzima na utaanza kuukulia wokovu kwa mafundisho kanisani. MUNGU ana makusudi kabisa na wewe, hataki upotelee motoni anataka uende uzimani aliko KRISTO BWANA.

Copy the BEST Traders and Make Money : http://bit.ly/fxzulu

Friday, August 2, 2013

Huo Mwendelezo wa furaha kama unavyojua

 Tarehe hii 26/05/2013 kwetu ilitukumbusha kama familia kwani pia ilikuwa ni Mhimu saana kwani ndo ilikuwa siku ya kutimiza mwaka mzima toka tufunge ndoa Yetu takatifu kwani furaha kwetu iliongezeka maradufu ukizingatia pia ndo siku tuliyomshkru Mungu kwa Ubarikio wa mtoto wetu hivyo ilikuwa Shangwe na Furaha ya kutosha Ashukuriwe Mungu afanyaye Makubwa kwa Watu wake.
Posted by Picasa

Siku ya Mahafali ya CCT--RUCO

 Ni kweli ni jambo lisilo na kificho chochote kwani mambo yalienda vyema sana kiasi ambacho kila mwenye pumzi alimsifu Mungu bila uoga kwani ni jambo la kumshkru Mungu tulianza kama mchezo lakini Mungu akatufanikisha tukamaliza vyema tukiwa na afya zetu hivyo tunamshkru Mungu wa Mbinguni maana tungali na safari Mungu tunakuomba utusaidie Tumalize vyema kama maneno kutoka katika kitabu cha wafilipi 3:12
Kukaza Mwendo Ili Kufikia Lengo
"Si kwamba nimekwisha kufikia, au
kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha!
Bali nakaza mwendo ili nipate kile ambacho kwa
ajili yake, nimeshikwa na Kristo Yesu.
13 Ndugu zangu, sijihesabu kuwa nimekwisha kushika. Lakini ninafanya jambo moja: Ninasahau mambo yale yaliyopita, nakaza mwendo kufikia yale yaliyo mbele.
14 Nakaza mwendo nifikie ile alama ya ushindi iliyowekwa ili nipate tuzo ya mwito mkuu wa Mungu ambao nimeitiwa huko juu mbinugni katika Kristo Yesu.
15Hivyo sisi sote tuliokuwa kiroho tuwaze jambo hili, hata mkiwaza mengine katika jambo lo lote, Mungu ataliweka wazi hilo nalo.
16 Lakini na tushike sana lile ambalo tumekwisha kulifikia."
Posted by Picasa

Shukrani Zetu


 Mathayo 18:1Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu
na kumwuliza “Je, nani aliye mkuu
kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
2
Yesu akamwita mtoto mdogo na
kumsimamisha katikati yao.
3
Naye akasema:
‘‘Amin, nawaambia, msipoongoka na kuwa
kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika
Ufalme wa Mbinguni. 4
Kwa hiyo mtu yeyote
ajinyenyekezaye kama huyu mtoto, ndiye aliye
mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
5
“Ye yote amkaribishaye mtoto mdogo
kama huyu kwa jina langu, anikaribisha mimi.
Posted by Picasa

UBARIKIO WA MTOTO WETU NEEMA

Mathayo 19:13-15 
Kisha watoto wadogo wakaletwa kwa
Yesu ili aweke mikono yake juu yao na
awaombee. Lakini wanafunzi wake
wakawakemea wale waliowaleta.
14
Yesu akasema, “Waacheni watoto
wadogo waje kwangu, wala msiwazuie, kwa
maana Ufalme wa Mbinguni ni wa wale walio
kama hawa.
15
Naye akaweka mikono yake juu
yao, akaondoka huko.
Posted by Picasa

Sunday, March 31, 2013

LAFA FAMILY and family friend Franze from German


From left is LAFA FAMILY and Franze from German as friend friend
Posted by Picasa

LAFA FAMILY WITH FAMILY FRIENDS FROM BELGIN


from left is NINA, MRS MTAKA, NEEMA MTAKA, MR MTAKA and INTI as Family friends
Posted by Picasa

Sunday, March 3, 2013

JOINT FELLOWSHIP

UKILIONA TANGAZO HILI MWALIKE NA MWINGINE PIA TAMANI KUSHARE BARAKA HIZI PAMOJA NA WENGINE WENGI

Tuesday, February 19, 2013

MATOKEO YA FORM FOUR 2012 HAYA HAPA

60% ya wanafunzi wafeli mtihani
MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana yametangazwa. Watahiniwa 240,903 sawa na asilimia 60.6 wamepata sifuri, huku wanafunzi 23,520 tu ambao ni sawa na asilimia 5.16 ndiyo waliofaulu na wengine 103,327 sawa na asilimia 26.02 wamepata daraja la nne.

Akitangaza matokeo hayo jana, Waziri wa Elimu Dk Shukuru Kawambwa alisema watahiniwa walikuwa 456,137, wa shule wakiwa 397,136 huku wa kujitegemea wakiwa 68,806.

Kwa mujibu wa matokeo hayo, watahiniwa waliopata daraja la kwanza ni 1,641, wavulana wakiwa 1,073 na wasichana 568, daraja la pili ni 6,453, wavulana wakiwa 4,456 na wasichana 1,997.

“Matokeo ya mwaka huu yamekuwa mabaya sana, Serikali tunasikitika kutokana na hali hii lakini tuna mipango mbalimbali ya kuhakikisha tunaweza kutatua hili tatizo,” alisema Dk Kawambwa.

 

BONYEZA (BOFYA)HAPA MATOKEO YA FORM FOUR 2012(hosted by lafa)


BONYEZA HAPA KWA QT RESULTS

Monday, February 11, 2013

MAJINA YA MUNGU

  1. ADONAI
Mungu Mwenye Enzi Yote
Mwa 15:2-8
  1. EL – SHADAI
Mungu Ututoshalezae Mungu Mwenyenzi
Mwa 17:1
  1. EL-OHEENU
Bwana Mungu Wetu
Zab 99:5,8,9
  1. EL- GIBBOR
Mungu Mwenye Nguvu
Isa 9:6-9
  1. EL-OLAM
Mungu wa Milele
Mwa 21:23
  1. EL-OHEEKA
Bwana Mungu Wako
Kut 20:2,5,7
  1. EL-ELYON
Mungu Aliye Juu Sana
Mwa 14:18
  1. EL-OHIM
Muumbaji wa Milele
Mwa 1:1
  1. YEHOVA SABAOTH
Bwana wa Majeshi
1Sam 1:3
  1. JEHOVA TSIDKEMU
Bwana ni Haki Yetu
Yer 23:6
  1. JEHOVA RAPHA
Mungu Nikuponyae
Mwa 15:26
  1. JEHOVA MEKADDISHKEM
Bwana Niwatakasae
Kut 31:13
  1. JEHOVA ROHI
Bwana Mchungaji Wangu
Zab 23:1
  1. JEHOVA JIREH
Mungu Atupaye /Atoaye
Mwa 22:14
  1. JEHOVA HOSEENU
Bwana Aliyetuumba
Zab 95:6
  1. JEHOVA NISSI
Bwana ni Beramu (Bendera) yangu
Kut 17:15
  1. JEHOVA SHALOM
Bwana ni Amani Yangu
Amuz 6:24
  1. JEHOVA SHAMMAH
Bwana Yupo Hapa
Ezek 48;35

Sunday, January 20, 2013

Jinsi Ya Kujijengea Uwezo Wa Kufanya Maamuzi Sahihi Katika Maisha

   Katika Maisha yetu ya kila siku mara nyingi tunajikuta katika mazingira yanayotulazimu kufanya maamuzi magumu au kuchagua kitu katikati ya vitu vingi ambavyo vinatuchanganya akili.  Wengi wetu kwa ugumu huu wamejikuta wakifanya maamuzi mabovu na kuchagua chaguzi mbovu ambazo ama ziliwapa hasara  au ziliharibu kabisa muelekeo au mustakabali wa maisha yao.  Ndio maana wenzetu wa magharibi (Ulaya) wanamsemo usemao “Life is how you make Decisions” Maisha ni vile unavyofanya maamuzi.

ITAMBUE HAIBA YAKO (Know your Personality)

Jitambue Ya Chris Mauki.......ITAMBUE HAIBA YAKO (Know your Personality)


  Katika utafiti wakuchunguza athari za msongo wa mawazo katika moyo, madaktari Mayer friedman na Ray Roseman waliweza kuwaweka watu katika makundi ya haiba mbili; yaani haiba kundi A and haiba kundi B.
 
Madaktari hawa waligundua kuwa hata kama kazi na aina ya maisha ingefanana, watu wa haiba kundi A wangekuwa na nafasi mara 3 kuteseka na msongo wa mawazo, magonjwa ya moyo, shinikizo la damu n.k. na watu hawa mara nyingi huwa wanamaudhi kwa jinsi wanavyojibu au kuongea na wengine, na hili limekuwa likiwaongezea msongo wa mawazo maradufu.

Makundi haya yamewekwa ili kukuwezesha wewe kujua uko upande gani. Usichanganyikiwe wala kushtuka pale utakapojikuta una tabia za makundi yote mawili, mara nyingine inaamaanisha kuwa uko vizuri katika kuhakikisha mambo yanafanyika inavyotakiwa au unavyotaka yawe. Ila kama unajikuta unatabia zaidi ya nusu za haiba kundi A inabidi uchukue uamuzi wa kutafuta kubadilika au kubalisha mtazamo ulionao katika maisha, kabla haujajihatarishia maisha yako wewe mwenyewe.

Haiba Aina ‘A’
-       Ni watu wa ushindani katika kila kitu wafanyacho.
-       Watu wenye haiba ya kutumia nguvu na kulazimishisha
-       Hufanya mambo yao mengi kwa haraka
-       Huwa na uchu wa kupandishwa vyeo na kujulikana katika jamii. (Hatakama hawana sifa).
-       Hutaka sana kujulikana na kuheshimiwa kwa kile walichokifanya.
-       Hukasirishwa kwa haraka na watu au matukio fulani
-       Huongea mara kwa mara kwa kufoka au kwa vitisho
-       Hupenda kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja.
-       Hutembea na hata kula kwa haraka
-       Mara nyingi kuchukizwa sana pale wanapocheleweshwa 
-       Hujali sana muda na kukazana kumaliza mambo kwa muda ulipangwa (meating deadlines)
-       Kila mahali huwepo kwa wakati na kwa muda muafaka.
-       Mara kwa mara misuli yao ya uso huonyesha, kumaanisha, kuogopesha au ukali,
Haiba Aina ‘B’
-       Sio watu wa ushindani  mfano, makazini, michezoni, masomoni n.k.
-       Ni watu walio rahisi, na huyakubali mazingira, hufanya vitu taratibu na kwa kufuata kanuni.
-       Huendelea na kuchukuliana na hali ya kazi iliyopo.
-       Huridhika na nafasi walinayo katika kijamii.
-       Hawahitaji kujulikana  au kutambulika katika jamii au hata katika matukio.
-       Sio rahisi sana kuwaudhi.
-       Mara nyingi hufurahia sana wanapokuwa pekeyao.
-       Ni wavumilivu.
-       Hupendelea kufanyakitu kimoja kwa muda muafaka kabla ya kwenda kwenye kitu kingine.
-       Hutembea, na kula kwa nafasi na utulivu.
-       Hawakimbizwi sana na muda, sio wakukimbizana sana na kumaliza kazi.
-       Mara nyingi ni wachelewaji.
-       Nyuso zao ni za kufurahi na sio za mikunjo.

KWANINI UKO VILE ULIVYO?
Vyovyote haiba yako ilivyo na kwa vyovyote unavyowachukulia wenye wale tabia ngumu fahamu kuwa mfano huo ulishakuwepo miaka mingi iliyopita, labda zaidi ukiwa mtoto ndio ilikuwa chanzo cha vile ulivyo leo; Mwanasaikolojia mmoja aliuita mfumo huu..“A child is a father of a man” yaani
Mambo tunayoyaona au unayoyaona kwa mtoto hutupa picha halisi ya ukumbwa wake utakavyokuwa. Zaidi ya asilimia sitini ya yote yanayoendelea maishani mwetu leo yanachangiwa na makuzi yetu tukiwa watoto
Wengi wetu tumejiharibia misingi yetu ya uwezo wa kuishi na watu wenye tabia ngumu na hivyo kujikuta tunaumizwa tokea tukiwa watoto wadodo. Habari njema ni kwamba hakuna ulazima wa kubaki vile ulivyo, mabadilko yanawezakana, inawekana katika hatua yoyote kubadili mtazamo au muonekano wako na kuboresha ujasiri wako.
Tujaribu kuangalia baadhi ya sababu zinazosababisha mtu kujiona au kujitazama vibaya, hii itakuwezesha wewe kujua uko wapi na kwanini.
  1. Watu wa kwanza kabisa waliowahi kuwa karibu na wewe ni baba na mama yako au yoyote aliyechukua nafasi yao, mfano mlezi, babu, bibi nk. Kutokana na mtazamo wao juu yako, hapo wewe umetengeneza au kuzalisha mtazamo juu yako mwenywe najinsi unavyojithamini au kutojithamini. Kwa lugha rahisi ni kwamba, jinsi unavyojiangalia ulivyo leo kunatokana kwa kiasi kikubwa na jinsi wao walivyokuwa wanakutazama, kama walikuona wewe lofa na mjinga basi kuna uwezekano mkubwa na wewe leo utajiona lofa tu.

Najua wapo wazazi wasio na hekima wala wema kwa watoto wao, huwasababishia watoto wao majeraha ya kimwili, kihisia na hata kiakili, uzuri ni kwamba fungu la wazazi hawa ni dogo. Ingawa inawezekana sana kwa wazazi au walezi au watu wazima wowote kusababisha majeraha na athari kwa watoto mara nyingine pasipo kujua kwamba wanafanya hivyo. Katika kuongea na wazazi lukuki nimegundua kwamba asilimia kubwa ya watoto wameharibiwa na wazazi wao wenyewe, pasipo wazazi hawa kujua kuwa wanawaharibu watoto wao.

  1. Wazazi ambao huwalinda na kuwatetea sana watoto wao, wakijaribu kuwafanyia kila kitu kwa niaba ya watoto hao, kwa njia hii wazazi hawa hutengeneza watu wazima (wababa au wamama) wenye utegemezi mkubwa, wasioweza kufanya kitu chochote wenyewe wala kusimama kwa miguu yao wenyewe. Unakuta hata kazi za shuleni mama ndiyo anafanya, mtoto anakuwa hata kuosha mwili wake hajui, na hawa ndio wale ambao ndoa huwashinda mapemaaa.

  1. Wale wazazi au walezi ambao hutoa mahitaji kwa watoto wao lakini hushindwa kuonyesha kwa matendo upendo wao kwa watoto wao (mfano. Kuongea nao, kucheka nao, kucheza nao n.k.) hutengeneza kizazi kinachoamini kuwa hakipendeki, hakina mvuto, kisicho na thamani na kisichostahili kupendwa. Baba haijalishi unatoa mahitaji yote yanayohitajika nyumbani kwako, hilo sio pekee watoto wako wanalolihitaji kutoka kwako, wape muda wakuwa pamoja nao, waruhuru kucheza na wewe kidogo, toka pamoja nao, jibu baadhi ya maswali yao, waruhusu kujuwa kumbe baba au mama anaweza kuwakaribu na sisi pia.


  1. Wazazi au walezi ambao kila mara humwekea mazingia mtoto kujiona aliyeshindwa, kila wakati ni wakufeli tu, wazazi hawa ni wale wanaosema kwa nini mtoto asijitahidi, kwanini asiwe wa kwanza darasani, ni mpumbavu n.k.. hali hii huharibu kabisa imani ya mtoto kwake yeye mwenyewe, huua kule kujiamini kwake na pia kutokiamini kile anachokifanya.
Yawezekana kuna vitu vilivyoonekana katika makuzi ya mtoto ambavyo hakuna wa kulaumiwa lakini bado vitu hivi huathiri sana kujiamini na kujithamini kwa mtoto yule.
Mtoto au watoto wanaohama hama au kuhamishwa shule mara kwa mara, kwa sababu zao binafsi au kwa sababu ya kuhama hama kwa wazazi hupata shida yakujiona wapweke kwa maana kila wakati hupata kazi ya kutengeneza marafiki wapya na kwamuda fulani hali hii huathiri haiba zao na kujenga kitu tunachokiita “inferiority complex”

Tufanye nini??
Kitu cha kwanza ni kukubaliana na ukweli kwamba mtazamo wako (jinsi unavyojitazama) hubadilika badilika. Tena hubadilika kiasi ambacho mara nyingine huwezi kutambua. Unaweza kuchagua mwenyewe jinsi unavyotaka mtazamo wako uwe. Kwa mfano;
  1. Kufanikiwa au kushindwa
Jaribu kutoangalia nyuma kule ulikowahi kushindwa zaidi, kila mtu anahistoria ya kushindwa sio wewe tu. Wacheza mpira maarufu duniani, mara nyingine hukosa magoli rahisi kabisa lakini hakuna hata mmoja aliye acha kucheza au kuharibu fani yake kwa sababu ya kukosa goli. Wala hakuna aliyekiri kuwa yeye sio bora kwa sababu tu ya kukosa goli moja. Ni vema kukumbuka kule tulikowahi kushindwa kama tu tunataka kujifunza katika makosa yetu, na sio kwa kutaka  kujisononesha na kujilaumu kwa namna tulivyokosea. Jifunze kuziacha historia za kufeli na kushindwa zifukiwe katika yaliyopita.

Tengeneza mafanikio yako wewe mwenyewe anza katika hali ya chini kabisa, chagua vile vitu usivyo viweza kabisa kuvifanya mfano; Kuzungumza mbele ya watu, kuimba, kuogelea, kuwa kwenye usaili, kusimama mbele ya kamera n.k anza kuvifanya kwanza kupitia ufahamu wako (viwaze akilini) hali hii inaitwa (creative visualization) ni njia majawapo bora ya kufanya mazoezi ya vile tunavyoshindwa katika fikra zetu, kwanza jitahidi kujitazama fikrani ukiwa au ukifanya vitu hivyo kwa ushindi hadi ufahamu wako utakapoizoea hali hiyo na kuacha kutuma jumbe za kushtuka (kupanick) au uwoga wakati utakapokuwa unafanya vitu vile kihalisi.

Katika kufanya mazoezi ya kufikiria kimtazamo, chagua kufanya katika utulivu mchana au jioni. Muda kabla hujaenda kulala ni mzuri zaidi. Rudia zoezi hili mara kwa mara mpaka uzoee na fikra zizoee.

  1. Andika vile vitu uvipendavyo juu yako mwenyewe, kama kuna mtu anayesema kuwa hana kitu cha kuandika basi mtuhuyo hajafikiri kwa undani au ni mwongo, kila mtu anakitu chema ndani yake.
Kama ukishaandika vitu hivi, angalia tabia ya vile vitu ulivyoviandika pale, kama vitu hivyo vikifanywa na mtu baki usiyemjua je utasema yeye ni mtu mbaya? Kama sio, kwa nini wewe unajiona usiyefaa na uliyejaa mabaya tu?
Badala ya kutazama yale yaliyo mabaya na yakushindwa katika historia yako tazama mafanikio yako. Kila mmoja ana mafanikio ya aina fulani, hata kama ni madodo kiasi gani. Hata kama unatazama yale yaliyowahi kufanyika huko awali basi yatazame katika mtazamo chanya. 

Wengi wetu hatuchukui muda kujiuliza vyanzo vya mitazamo yetu hasi, tunaamua kuikubali tu na kuikumbatia na kuifanya asili yetu. Ila mara tu utakapo gundua kuwa tatizo sio lako wewe bali ni mazingira uliyokuziwa au aina ya wazazi uliokuwa nao basi utaacha kujidharau.
Wako watoto wanaofurahia kupelekwa shule za bweni mbali na nyumbani, ila wako ambao hawapendi kabisa lakini wanalazimishwa, hali hii hupandikiza ndani ya watoto hawa upweke, hofu, msongo wa mawazo na kutokutulia (nazungumzia utulivu wa ndani) jambo ambalo huendelea hata katika utu uzima wao. Wako wengi ambao tabia zao za leo zilianza kuharibikia katika shule za bweni mbali na wazazi kwa mfano tabia za kusagana au kuingiliana kinyume na maumbile.

Sisi tumeumbwa katika mifumo na vipindi mbalimbali, mara nyingine tuko chanya (watu wema, wazuri) na mara nyingine tunakuwa hasi (watu wabaya). Kama mtoto atakuwa akiambiwa kila wakati kuwa “kamwe huwezi kuwa na akili kama dada yako” maneno haya hufanyika halisi kwake. Je hujawahi kusikia mtu akisema “mimi sijui kuogelea”, “mimi sijui kama nitaolewa” “Kamwe sitokaa niendeshe gari” , “Mimi sitokaa nijue kiingereza”, “Mimi na kuimba ni tofauti” Haimaanishi kama watu hawa wangeanza kujifunza au kuzaliwa katika mazingira ya vitu hivi, wangevishindwa. Labda kuna sehemu mtu au watu fulani waliwasemea kutoweza au kushindwa na huo ukawa mwanzo wa kuwekewa kizingiti cha ujuzi ndani yao.

Wakati wowote mtu anapojisemea jambo, au neno lililo baya, lisilojenga, lakushindwa, kama utalisema kwa sauti au utalifikiria akilini, katika hali yoyote ile jambo hili hulazimisha uhalisi wa maneno yale kuingia katika mfumo wa maisha yako na kutenda kazi kwa hiyo jifunze kukataa, kukanusha na jitahidi kutenda kinyume na zile sentensi mbaya juu yako. Kama tunaamini utendaji wa kazi wa yale tunayojisemea au kusemewa vibaya basi hata yale tunavyojisemea au kusemewa vema hutenda kazi pia. “If negative proclamation works, surely positive proclamation must work too” Amua kubadilisha yale unayojisema au yale unayosemewa. Badili yale yaliyo negative (yakufeli) yawe positive (yakuweza). Kama hujiamini wewe mwenyewe wala hujithamini, basi utakubali kirahisi kila neno gumu na baya utakaloambiwa na kila mwenye tabia ngumu na kama utayakubali unayoambiwa au unayorushiwa hutaweza kamwe kukabiliana na ushindani kutoka kwa mtu au watu wenye tabia ngumu. Kumbuka daima udhaifu huanzia kwako mwenyewe.

Ukishajifunza kupunguza kujilaumu na kujipinga mwenyewe na kuboresha jinsi unavyojitazama basi utakuwa salama katika kukabiliana na maneno na matendo magumu toka kwa yeyote mwenye tabia ngumu. Na kwa kuwa umejifunza vizuri kujielewa basi sasa waweza kuwaelewa vizuri zaidi wale wenye tabia ngumu. Sasa utaweza kuelewa kuwa kuna kitu kimemfanya au kimewafanya wawe vile walivyo. Mara utakapoweza kumwonea huruma yeyote, haijalishi anatisha kiasi gani basi hawezi tena kukuathiri kwa vyovyote vile.

Kwa jinsi ujasiri wako unavyoongezeka, unaweza pia kuziweka katika matendo mbinu nyingine nyingi za kushuhulika na watu wenye tabia ngumu. Utajikuta unaweza kukabiliana nao na pia kuchukuliana nao katika mazingira tofauti na pia hata katika nyakati ambazo hutakuwa unafanya vizuri katika jambo fulani, hautajilaumu na kujishusha, bali utajisifu kwa kukazana na kujitahidi hata kama haukubahatika.


Chris Mauki
Social and counselling psychologist
PhD candidate
University of Pretoria
chriss@udsm.ac.tz

Jitambue Ya Chris Mauki.....JIFUNZE NAMNA YA KUJISAIDIA MWENYEWE (Self Help Skills)

Utafiti uliofanywa katika maeneo mengi katika nchi zilizo endelea na zinazoendelea unaonyesha kuwa watu wengi bado wanahitaji kiwango kikubwa cha uwezo wa kujisaidia wenyewe.  Hata katika nchi kama marekani ambayo teknolojia ni kubwa lakini watu pia wanakiu kubwa ya jinsi ya kujua kujisaidia wenyewe katika baadhi ya mambo yanayowasibu kimwili, kihisia na maisha kwa ujumla

Wachunguzi wakubwa wa maswala ya kisaikolijia Richard na Tony Robbins wanaafiki kwamba yawezekana kabisa tukarekebisha na kuweka sawa vile visivyokaa sawa katika miili yetu au akili zetu pasipo kutegemea msaada wa daktari au mshauri.

Watu wengi ulimwenguni wanapata msada wa ujuzi huu kupitia kuenea kwa mtandao wa intanet na vitabu vya ujuzi huu vilivyo vingi sana (self help books).
Takwimu zinaonyesha wamarekani walitumia zaidi ya dola 563 milioni kwa manunuzi ya vitabu vya ujuzi wa kujisaidia mwenyewe, na pia zaidi ya tovuti 12000 za masuala ya afya ya akili “mental health” hutumika nchini marekani.  Yote hii ni watu kutafuta uwezo wa kujisaidia zaidi ya kutegemea kusaidiwa  hasa katika mambo ya afya ya akili, hisia ,nk. Zaidi ya 40% ya tovuti za masuala ya afya kutumiwa na watu hasa katika kutafuta kufahamu juu ya tatizo la kupoaaza moyo na upweke (depression).

Huu ni wakati wa kila mmoja kujua jinsi ya kurekebisha maumivu yake na kuponya majeraha yake mwenyewe. Hii  inawezekana.

Habari au taarifa nyingi za namna ya kujisaidia binafsi zimekuwa zikikosewa na kutafsiriwa tofauti mara nyingi.  Hii ndio maana wengi wamekuwa hawatilii maanani na pia wengi kutopata matokeo halisi yanayotarajiwa.  Safu ya gazeti hili leo inakwenda kukufungua na kukusaidia.

Yafuatayo ni baadhi ya maeneo katika maisha yetu ya kila siku ambayo huleta matatizo kwa kushindwa kuwa na ujuzi wa kujisaidia wenyewe.

1.Unapokuwa Katika Hasira Kali.
Kama vile yalivyomatundu katika kuta kubwa kwa ajili ya kupumulia hewa na kupunguza presha  katika ukuta huo ili usije pata nyufa  (ventilations) ndivyo hivyo mtu mwenyehasira  kali hutakiwa kujua jinsi ya kuyaruhusu mazingira aliyopo yaweze kumsaidia kuipumulia nje ile hasira pasipo kuleta madhara kwake yeye na wale wanaomzunguka  ( venting anger )

Tumeona sana katika filamu au vitabu vya  asili ya nchi za magharibi wengi wakiwa katika hali hii hukumbatia au kung’ata au kupiga ngumi mito ya kulalia (pillow) au wengine hutupa ngumi katika mfuko wa mazoezi ya kupigana (punching bag) katika hali hii hasira kali hupata pakupenyezea na kupoa.  Watalaam wameshauri kutumia nguvu zote kutupa ngumi au kupiga mito hii au puching bag na kama ni mtu amekuudhi basi fikiria kuwa unauona uso wake katika mto huo na uiachie hasira yako kimwili (kwa kupiga)  na kimaneno kwa kuongea yale yote yaliyo moyoni mwako. Watafiti wanasema aina hii yaweza pia kuwa msaada kwa kupunguza msongo wa mawazao mbali na hasira.

Tafiti za hivi karibuni zimeonyesha mtazamo wa tofauti kidogo katika hili.  Dr Brad Bushman  mwanasaikolojia  wa Iowa state university anasema watu wengi hufikiri kwa kufanya hivi wanafanikiwa kupona hasira ila wale wachache ambao inashindikana wanakuwa na hasira kali maradufu na kuchanganyikiwa.

Baadhi ya tafiti zimeonyesha kuwa kukosewa kwa namna ya kuipunguza au kuitoa hasira kumewasababishia wengi matatizo ya misuli ya kichwani na hivyo kuhatarisha akili zao.

Nini Kifanyike Basi
i)                    Jaribu kufanya chochote kile ambacho chaweza kikachukua nafasi ya hasira moyoni, kila mtu anakitu anachokipenda, kifanye hicho sasa, kwa mfano; kuangalia filamu, picha, kusoma au kusikiliza hadithi au kusikiliza nyimbo unazozipenda, jihadhari kukaa karibu na yule aliyekukwaza mpaka mmesuluhisha yaliyowasibu.
ii)                  Pata muda wa kucheka na marafiki wengine, kama ni baba pata muda wakutoka na watoto wako, hawa wananafasi kubwa ya kukuingia moyoni kwa haraka na kusafisha hasira uliyonayo.
iii)                Usikimbilie sana kwenye mazoezi ya viuongo kwasababu utafiti wa Dr. Bushman unaonyesha kuwa mazoezi ya viungo yananafasi kubwa ya kuiamsha hasira, wengi waliotafitiwa walienda kupigana mara tu baada ya kumaliza mazoezi ya viungo.
iv)                Michezo ya kijadi kama vile tai, chi, na yoga yaweza kuwa msaada wa kurekebisha hisia na hali ya akili, ni vema ukafanya michezo hii kama unaujuzi nayo na kama inaruhusiwa na imani yako, kwa sababu mingi iko zaidi katika imani za dini za  nchi za bara Asia.
v)                  Muendelezo wa kufanya kazi au shughuli itakayochukua muda mrefu wa kufikiri na kuifanya bize akili yako inaweza kupooza hasira pia.





2. Unapokuwa  Umefadhaika, Umepooza, Unahuzuni na Kuvunjika Moyo   
Tafuta sana kufikiria yale yaliyo mema na ya kukutia moyo.  Peleka moyo wako katika yale yanayokupa furaha zaidi kuliko katika yale yanayovunja furaha yako. Funga milango yako ya akili, usiruhusu chochote kisicho cha furaha kuingia ndani. Tumia ubongo wako kufikiri kuwa yote yanawezekana                   (optimistic thinking).

Teka uwezo wa akili na fikra zako na uzielekeze kule tu unakopenda wewe,
usiruhusu kamwe watu au mazingira yakuletee picha inayokuumiza moyo
Tafiti zinaonyesha kuwa mara nyingi tunapokuwa katika huzuni na kuvunjika moyo kila kitu huonekana kinyume nasi.  Nguvu ya ubongo nayo inashindwa kuyadidimiza yale yaliyo mabaya ili tusiyawaze.  Na kila tunapojaribu kujitahidi wenyewe kuikataa hali hii mawazo na mitazamo ya kufeli na kushindwa hujaza fikra zetu.  Mara unapojaribu kufikiri yale mema moto huwa mkali zaidi na kuona kuwa wewe ni wakushindwa zaidi.

Ufanye nini Basi?

i)                    Pata muda zungumza na marafiki, watu wa dini (wachungaji, mapadri, shekhe, washauri au yeyote anayeweza kukupa mitazamo ya tofauti na kukuwezesha kuwaza mambo mengine.
ii)                  Nenda katika maeneo ambayo watu wanafurahi, kama vile sherehe, ufukweni, hotelini, super market au katika maduka makubwa,  taratibu utaona roho na nafsi yako vinanyanyuka upya.
iii)                Na kama unajua kuwa kunakitu kitakuudhi na kuharibu furaha yako panga vitu vingi vilivyo vyema na vyakukujenga utumie muda kuviwaza hivyo.

3. Unapojihisi Kupoteza Mwelekeo wa Maisha

Kumbuka na uyafikirie tena na tena malengo yako, hii itakuwezesha kuyafanya yawe kweli. Pata mawazo na picha ya wewe ukifanikiwa na sio ukishindwa, iache picha hiyo ikae katika akili yako, itakusaidia kuyafanya matendo yako yapiganie uhalisi wa kile kilichopo akilini mwako.

Kuwaza tu kuwa unafanikiwa hakutoshi, hapa ninazungumza pia na wale wenye imani zao kali za dini ambao hukesha wakiamini wanafanikiwa na wamekwisha fanikiwa na wakati hakuna wanachokifanya, lazima ufanye mabadiliko yakimtazamo lasivyo kifo kitakukuta hapo hapo ukiwaza unafanikiwa wakati watu wanakuona wewe kama mfano mzuri wa walioshindwa maisha.  Lazima picha ulionayo ya kufanikiwa itiwenguvu na matendo(actions) ya kila siku katika kuifanya ndoto yako kuwa halisi “to make your dream come true”
Shelley Taylor, Daktari wa saikolojia wa chuo kikuu cha UCLA Marekani ameonyesha kuwa katika kufikiria tu kuwa unafanikiwa  na kuliwekea picha lengo lako katika akili bila matendo ina athari mbili; Kwanza inalitenganisha lile lengo mbali na kile kinachohitajika kufanywa ili lengo lifikiwe, na pili inakufanya ufurahie utamu wa kuwa mtu aliyefanikiwa wakati bado kabisa hujafika popote,  hali hizi zinafifisha nguvu ya lengo lako (power of the goal) na kukufanya kushindwa kujitahidi kufanya kazi na kukubali kupoteza (to take risks) katika kukipata kile ambacho kiko katika ndoto zako za kila siku.

Nini kifanyike?
i)                   Pamoja na kuwaza kila siku na kuwa na ndoto za mafanikio, pata wakati jiulize ninini unaweza kufanya ili kufikia mafanikio hayo, na ukipata njia au mbinu hizi anzia kuzifanyia mazoezi akilini kabla ya kuziweka katika uhalisia.
ii)                 Kwa malengo ya muda mfupi waweza kupitia hatua zote ulizo zipanga ndani ya siku moja kabla ya kuanza kuzitendea kazi.  Lakini kwa malengo makubwa na yamuda mrefu unaweza kupitia mipango yako tena na tena kadri unavyozidi  kuendelea na mchakato mzima na uone kama kunahitajika marekebisho.

4. Unapokuwa na hali ya Kutojithamini na Kutojipenda (Low Self Esteem)

Jitambue ya kuwa wewe ni wathamani na ni mtubora zaidi.  Hii itakuwezesha kujithamini na kujipenda. Jifunze kuandika maneno ya ushindi yanayoonyesha ujasiri na ukakamavu (affirmation) kwa mfano viko vikaratasi vidogo vya kunatisha (stickers) katika kuta au katika magari vinamaneno “every thing is possible” vikimaanisha kila kitu kinawezekana.  Nyingine zimeandikwa “I can do it’ (ninaweza), nakumbuka nimeona katika gari la rafiki yangu kikaratasi  cheye maneno ya dini “nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu” maneno haya na mengine mengi yawe ya dini au yakutungwa au waweza kuandika mwenyewe na kubandika katika ukuta wako, kioo cha kujitazama, katika mlango wa friji yako, ndani ya gari lako, pembeni ya kitanda au bafuni.  Kwa teknolojia ya sasa unaweza kuyarekodi maneno haya na yakasema katika redioyako mara kwa mara au kuyaandika  katika compyuta yako yakawekwa kama “screen saver”  ili mradi tu kila unapogeuka unayaona yanasema na wewe.  Maneno haya yana nguvu ya kupenyeza ujumbe ndani ya fikra na moyo wako na kuruhusu mwili wako kudaka na kuyatendea kazi.

William Swann, daktari wa chuoo kikuu cha Texas anasema mtazamo huu unaweza kuwa mgumu kidogo na sio wote wanaweza kufanikiwa katika hili kwasababu kubadili jinsi tunavyojihisi wenyewe ni kazi ngumu sana.
Hali ya kujithamini na kujipenda inategemea mambo mawili; Kwanza hisia zetu za jinsi gani tunavyojipenda, na pili hisia zetu za uwezo gani tulionao katika kazi zetu na shuhuli nyingine zinazohitaji ujuzi na vipawa vyetu. Katika hili matumizi ya maandishi  yanayoonyesha ushindi na kuweza (affirmations) yaweza kufanikiwa kwa baadhi ya watu lakini pale yanaposhidwa kufanya kazi huweza kumuacha mtu akiwa ameumia moyo zaidi.

Mara nyingi wale wenyemitazamo mibovu kuhusu wao wenyewe hawajiamini na hawaamini kama waweza kusema au kufanya  kitu bora hata siku moja kwa jinsi hii hata kama wakiandika vimaneno vingi vilivyo vya kutia moyo bado hawatakuwa na imani maana wanachokijua wao ni kwamba kamwe hakuna  chema kitakachoweza kutoka kwao. “Nothing good shall ever come from them”

Nini kifanyike basi?

i)          Njia pekee ya kubadilisha matunda ya vile tunavyojihisi au tunavyojithamini ni kubadili vile vinavyotuingia na kutengeneza  ile hali ya jinsi tunavyojiona. Kwamfano; kama unajikuta unashindwa kujithamini au kujipenda sababu ya wale unaohusiana nao   au unaokuwa nao zaidi, basi badilisha,chagua watu wengine wakuhusiana nao, labda hao watasema yaliyobora kuhusu wewe na kukutia moyo zaidi.  Kama uko katika ajira ambayo kila mtu anakuona wewe hujui na wewe niwakushindwa tu, amua kuwataka wabadili mtazamo wao kwako au ikibidi  ondoka pata kazi sehemu ambayo watu wanamtazamo mzuri kwako.  Jaribu kufanya kazi yako vema zaidi ya ulivyoifanya kule kwa awali.

ii)        Simama ujitetee mwenyewe usingoje kutetewa “stand for yourself”
hakikisha unazungukwa na watu wanaokuona kuwa wewe ni wathamani, unayeweza, na ni mtu mwema. Hakikisha wanalikiri hilo kwa vinywa vyao.Uwe mvumilivu na wakati wote jitahidi kutimiza majukumu yako ili usiwavunje moyo wale wanokuona wewe kuwa mtu mwema na wanayekuamini. Fahamu kuwa jinsi tunavyojiona sisi wenyewe, na mtazamo tulionao kuhusu sisi wenyewe (self esteem) ni mjumuisho wa jinsi tunavyohusiana na watu wanaotuzunguka kwa muda tuishio hapa  duniani na kwamwe hauwezi kubadilika kwa usiku mmoja.

5. Unatatizo la Mawasiliano Katika Mahusiano Uliyonayo:
Usikivu makini (active listening) unaweza kukusaidia kuwasiliana vema na rafiki yako au mpenzi wako. Katika usikivu makini tunamaanisha sio tu kusikia, bali kuelewa kwa uhakika kile mwenzako anachojaribu kukisema.  Hapa ndipo tofauti kati ya neno “hearing” na neno “listening” inapojidhihirisha na hata maneno kusikia na kusikiliza yanapoonyesha tofauti.  Katika mahusiano baina ya watu, marafiki, wapenzi, ni lazima kuwepo na kusikilizana “listening” na sio “kusikiana”
            Mahusiano mengi na hata ndoa nyingi zimekuwa na migogoro na hata mivunjiko maana kumekuwa na kusikiana zaidi ya kusikilizana kamwe msisahau kuwa tunayasikia magari, tunasikia ndege wa angani na ndege za abiria, tunasikia upepo na miti na makelele mengine lakini tunawa sikiliza watu  na yale wanayoyasema.

Tunasikiliza kile tunachoelezwa kwa kukitathmini kama vile kilivyosemwa na tunakirudia kwa maneno yetu wenyewe tukijaribu kifikiri kile mwenzetu anachojaribu kutuambia.  Katika hili tunatambua yakwamba kusikiliza ni mchakato (process) wakati sio hivyo katika kusikia. Baadhi ya wachunguzi wamegundua kwamba usikivu makini au masikilizano, yanawasaidia zaidi wale walioko katika mahusiano mazuri, lakini maranyingi mchakato mzima wa kusikilizana hukwama hasa pale wapenzi wanapokuwa katika ugomvi au mahojiano makali, hapa kusikilizana huwa ni ndoto.


Zingatia haya!

 Walioko katika mahusiano (wanandoa) wajaribu  kupeleka jitihada zao zote katika mambo matatu muhimu

i)                    wanawake wajitahidi kuwasilisha hoja na madai yao katika hali ya upole na upendo. Tafiti zinaonyesha kuwa wanaume wengi wamekuwa tayari kusikiliza toka kwa wanawake pale ambapo wanaongeleshwa kwa utulivu na unyenyekevu.

ii)                  Wanaume wanahitaji kuwasikiliza wenza wao kiufasaha na kuzingatia juu ya hisia na mawazo yao.

iii)                Pande zote mbili yaani wanaume na wanawake jitahidini kwa kila hali kuutuliza utu wa kiume na kuutiisha.  Kiasili wanaume wanatabia ya kuhemka nakuwaka hisia zao za hasira haraka hasa wanapogadhibishwa, na kwa hali hii hujitahidi kujitoa kwenye tatizo haraka ili waziponye nafsi zao hatakama ufumbuzi wa tatizo haujapatikana na hii hufanya matatizo mengi katika mahusiano kuachwa bila suluhisho “unsolved Conflicts” na hali hii pia huwaacha wanawake katika hasira na maumivu makali.

Jitahidini kuhakikisha hamfikii katika hali hii kwa kurushiana utani kidogo au mwanamke kumkumbatia mwanaume angalau kupunguza gadhabu yake na mara mtajikuta mnaishia pazuri.